Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 38:20 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

20 Upate kuipeleka hata mpaka wake, Upate kuyaelewa mapito ya kuiendea nyumba yake?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

20 ili upate kulipeleka kwenye makao yake, na kuifahamu njia ya kwenda huko kwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

20 ili upate kulipeleka kwenye makao yake, na kuifahamu njia ya kwenda huko kwake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

20 ili upate kulipeleka kwenye makao yake, na kuifahamu njia ya kwenda huko kwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

20 Je, unaweza kuvirudisha kwenye makao yake? Unajua njia za kufika maskani mwake?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

20 Je, unaweza kuvirudisha kwenye makao yake? Unajua njia za kufika maskani mwake?

Tazama sura Nakili




Yobu 38:20
4 Marejeleo ya Msalaba  

Na mpaka wa Wakanaani ulianza kutoka Sidoni kwa njia ya Gerari hata Gaza; tena kwa njia ya Sodoma, na Gomora, na Adma, na Seboimu, hata Lasha.


Basi shamba la Efroni lililokuwa katika Makpela kuelekea Mamre, shamba, na pango lililokuwemo, na miti yote iliyokuwamo shambani, iliyokuwa katika mipaka yake pande zote, vyote viliyakinishwa


Amepiga duara kuwa ni mpaka juu ya uso wa maji, Hata hapo mwanga na giza vinapopakana.


Iko wapi njia ya kuyafikia makao ya nuru? Na giza pia, mahali pake ni wapi?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo