Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 38:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Ni nani huyu atiaye ushauri giza Kwa maneno yasiyo na maarifa?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 “Nani wewe unayevuruga mashauri yangu kwa maneno yasiyo na akili?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 “Nani wewe unayevuruga mashauri yangu kwa maneno yasiyo na akili?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 “Nani wewe unayevuruga mashauri yangu kwa maneno yasiyo na akili?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Nani huyu atiaye mashauri yangu giza kwa maneno yasiyo na maarifa?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 “Nani huyu atiaye mashauri yangu giza kwa maneno yasiyo na maarifa?

Tazama sura Nakili




Yobu 38:2
9 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini mimi pia, nina fahamu kama ninyi; Mimi si duni kuliko ninyi; Naam, ni nani asiyejua mambo kama hayo?


Na kama sivyo sasa, ni nani atakayenihukumu mimi kuwa ni mwongo, Na kuyafanya maneno yangu kuwa si kitu?


Jinsi ulivyomshauri huyo asiye na hekima! Na kutangaza ujuzi wa kweli kwa wingi!


Nitawafundisha ninyi mambo ya mkono wa Mungu; Hayo yaliyo kwa Mwenyezi sitayaficha.


Huyo Ayubu amesema pasipo maarifa, Na maneno yake hayana hekima.


Ndiposa Ayubu hufunua kinywa chake kwa ubatili; Huongeza maneno pasipo maarifa.


Ni nani huyu afichaye ushauri bila maarifa? Kwa maana, nimesema maneno nisiyoyafahamu, Mambo ya ajabu ya kunishinda mimi, nisiyoyajua.


wakitaka kuwa waalimu wa sheria, ingawa hawayafahamu wasemayo wala mambo yale wayanenayo kwa uthabiti.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo