Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 38:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Na waovu nuru yao huzuiliwa isiwafikie, Na mkono ulioinuka huvunjika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 Lakini waovu watanyimwa mwanga wao, mkono wanaonyosha kupiga watu utavunjwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 Lakini waovu watanyimwa mwanga wao, mkono wanaonyosha kupiga watu utavunjwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 Lakini waovu watanyimwa mwanga wao, mkono wanaonyosha kupiga watu utavunjwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 Waovu huzuiliwa nuru yao, nao mkono wao ulioinuliwa huvunjwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 Waovu huzuiliwa nuru yao, nao mkono wao ulioinuliwa huvunjwa.

Tazama sura Nakili




Yobu 38:15
17 Marejeleo ya Msalaba  

Na walipomteremkia Elisha akamwomba BWANA, akasema, Uwapige, nakusihi, watu hawa kwa upofu. Akawapiga kwa upofu sawasawa na neno la Elisha.


Atakimbizwa kutoka mwangani hata gizani, Na kufukuzwa atoke duniani.


Naam, mwanga wa waovu utazimika, Wala muali wa moto wake hautang'aa.


Hawa ni katika hao waliouasi mwanga; Hawazijui njia zake, Wala hawakai katika mapito yake.


Basi bega langu na lianguke kutoka mahali pake, Na mkono wangu uvunjike mfupani mwake.


Hubadilika mfano wa udongo chini ya mhuri, Vitu vyote vinatokea kama mavazi.


Wao hupatwa na giza wakati wa mchana, Hupapasa mchana vile vile kama usiku.


Lakini yeye huokoa na upanga wa kinywa chao, Hata kumwokoa mhitaji na mkono wake aliye hodari.


Uuvunje mkono wa mdhalimu, Na mwovu, uipatilize dhuluma yake, hadi usiione.


Maana mikono ya wasio haki itavunjika, Bali BWANA huwategemeza wenye haki.


Njia ya waovu ni kama giza; Hawajui ni kitu gani kiwakwazacho.


Mtukuzeni BWANA, Mungu wenu, kabla hajaleta giza, na kabla miguu yenu haijakwaa juu ya milima yenye giza; na wakati mnapoitazamia nuru, kabla hajaigeuza kuwa kivuli cha mauti, na giza nene.


Basi Bwana MUNGU asema hivi; Tazama, mimi ni juu ya Farao, mfalme wa Misri, nami nitamvunja mikono yake, mkono ulio wenye nguvu, na huo uliovunjika, nami nitauangusha upanga ulio katika mkono wake.


Lakini mtu afanyaye neno lolote kwa kusudi, kama ni mzalia, kama ni mgeni, huyo amtukana BWANA; na mtu huyo atatupiliwa mbali na watu wake.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo