Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 38:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Je! Umeiamuru asubuhi tangu siku zako zilipoanza? Umeyajulisha mapambazuko mahali pake?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 “Yobu, tangu uzaliwe umewahi kuamuru kupambazuke? na kulifanya pambazuko lijue mahali pake,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 “Yobu, tangu uzaliwe umewahi kuamuru kupambazuke? na kulifanya pambazuko lijue mahali pake,

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 “Yobu, tangu uzaliwe umewahi kuamuru kupambazuke? na kulifanya pambazuko lijue mahali pake,

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 “Umepata kuiamrisha asubuhi ipambazuke, au kuyaonesha mapambazuko mahali pake,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 “Umepata kuiamrisha asubuhi ipambazuke, au kuyaonyesha mapambazuko mahali pake,

Tazama sura Nakili




Yobu 38:12
14 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akaiita nuru Mchana, na giza akaliita Usiku. Ikawa jioni ikawa asubuhi, siku ya kwanza.


Je! Wewe u mtu wa kwanza aliyezaliwa? Au, ulizawa wewe kabla ya milima?


Wao hutoboa nyumba gizani; Hujifungia ndani wakati wa mchana; Hawaujui mwanga.


Nikasema, Utafika mpaka hapa, lakini hutapita, Na hapa mawimbi yako yenye nguvu yatazuiliwa?


Yapate kuishika miisho ya nchi, Waovu wakung'utwe wakawe mbali nayo?


Hukosi unajua, maana ulizaliwa wakati huo, Na hesabu ya siku zako ni kubwa!


Ulikuwa wapi nilipoiweka misingi ya nchi? Haya! Sema, kama una ufahamu.


(Kwani sisi tu wa jana tu, wala hatujui neno, Kwa kuwa siku zetu duniani ni kivuli tu;)


Mchana ni wako, usiku nao ni wako, Ndiwe uliyeufanya mwanga na jua.


mtafuteni yeye afanyaye Kilimia na Orioni, na kukigeuza kivuli cha mauti kuwa asubuhi, na kuufanya mchana kuwa giza usiku; yeye ayaitaye maji ya bahari, na kuyamwaga juu ya uso wa nchi; BWANA, ndilo jina lake;


Kwa njia ya rehema za Mungu wetu, Ambazo kwa hizo mwangaza utokao juu umetufikia,


Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa iangazayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo