Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 37:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Je! Wajua jinsi mawingu yalivyowekwa sawasawa, Hizo kazi za ajabu za huyo mkamilifu wa maarifa?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Je, wajua jinsi mawingu yanavyoelea angani? Ndizo kazi za ajabu za yule aliye mkamilifu wa maarifa!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Je, wajua jinsi mawingu yanavyoelea angani? Ndizo kazi za ajabu za yule aliye mkamilifu wa maarifa!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Je, wajua jinsi mawingu yanavyoelea angani? Ndizo kazi za ajabu za yule aliye mkamilifu wa maarifa!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Je, unajua mawingu yanavyokaa yakiwa yametulia, hayo maajabu yake yeye aliye mkamilifu katika maarifa?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Je, wajua jinsi mawingu yanavyokaa yakiwa yametulia, hayo maajabu yake yeye aliye mkamilifu katika maarifa?

Tazama sura Nakili




Yobu 37:16
15 Marejeleo ya Msalaba  

Huyafunga maji ndani ya mawingu yake mazito; Na hilo wingu halipasuki chini yake.


Naam, mtu aweza kuelewa matandazo ya mawingu, Ngurumo za makao yake?


Maana hakika maneno yangu si ya uongo; Aliyekamilika katika maarifa yu pamoja nawe.


Sikiliza neno hili, Ee Ayubu; Simama kimya, uzifikiri kazi za Mungu za ajabu.


Je! Wajua wewe jinsi Mungu anavyoziagiza, Na kuufanya umeme wa wingu lake uangaze?


Jinsi nguo zako zilivyo na moto, Hapo nchi ituliapo kwa sababu ya upepo wa kusini?


Mungu hunguruma kwa kustaajabisha kwa sauti yake; Hufanya mambo makuu, ambayo hatuwezi kuyaelewa.


Yeye afanyaye mambo makuu, yasiyotambulikana; Mambo ya ajabu yasiyo na hesabu;


Ee BWANA, jinsi yalivyo mengi matendo yako! Kwa hekima umevifanya vyote pia. Dunia imejaa viumbe wako.


Bwana wetu ni mkuu na mwingi wa nguvu, Akili zake hazina mpaka.


Hayo hatutawaficha wana wao, Huku tukiwaambia kizazi kingine, Sifa za BWANA, na nguvu zake, Na mambo yake ya ajabu aliyoyafanya.


Yeye ndiye anayeketi juu ya duara ya dunia, na hao wanaokaa ndani yake huwa kama panzi; yeye ndiye azitandazaye mbingu kama pazia na kuzikunjua kama hema ya kukaliwa;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo