Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 37:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Moyo wangu hutetemeka kwa hayo pia, Nao huruka kutoka mahali pake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 “Kutokana na hayo, moyo wangu unatetemeka, na kuruka kutoka mahali pake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 “Kutokana na hayo, moyo wangu unatetemeka, na kuruka kutoka mahali pake.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 “Kutokana na hayo, moyo wangu unatetemeka, na kuruka kutoka mahali pake.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 “Kwa hili moyo wangu unatetemeka, nao unaruka kutoka mahali pake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 “Kwa hili moyo wangu unatetemeka, nao unaruka kutoka mahali pake.

Tazama sura Nakili




Yobu 37:1
15 Marejeleo ya Msalaba  

Hata nikumbukapo nahuzunika, Na utisho wanishika mwilini mwangu.


Mshindo wake hutoa habari zake, Anayewaka hasira juu ya uovu.


Zisikizeni hizo kelele za sauti yake, Na uvumi utokao kinywani mwake.


Ndipo BWANA akamjibu Ayubu katika upepo wa kisulisuli, na kusema,


Hofu iliniangukia na kutetemeka, Iliyoitetemesha mifupa yangu yote.


Mwili wangu unatetemeka kwa kukucha Wewe, Nami ninaziogopa hukumu zako.


Mungu huogopwa sana barazani pa watakatifu, Ni wa kuhofiwa kuliko wote wanaomzunguka.


Ikawa siku ya tatu, wakati wa asubuhi, palikuwa na ngurumo na umeme, na wingu zito juu ya mlima, na sauti ya baragumu iliyolia sana. Watu wote waliokuwa kituoni wakatetemeka.


Je! Hamniogopi mimi? Asema BWANA; hamtatetemeka mbele za uso wangu; mimi niliyeweka mchanga kuwa mpaka wa bahari, kwa amri ya daima, isiweze kuupita? Mawimbi yake yajapoumuka-umuka, hayawezi kushinda nguvu; yajapovuma sana, hayawezi kuupita.


Nikasikia, na tumbo langu likatetemeka, Midomo yangu ikatikisika kwa sauti ile; Ubovu ukaingia mifupani mwangu, Nikatetemeka katika mahali pangu; Ili nipate kuingoja ile siku ya dhiki, Kundi lao washambuliao wakweapo juu ya watu.


Ghafla pakawa tetemeko kuu la nchi, hata misingi ya gereza ikatikisika, na mara hiyo milango ikafunguka, vifungo vya wote vikalegezwa.


Akataka taa ziletwe, akarukia ndani, akitetemeka kwa hofu, akawaangukia Paulo na Sila;


Na Dani akamnena, Dani ni mwanasimba, Arukaye kutoka Bashani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo