Yobu 36:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC5 Tazama, Mungu ni hodari, wala hamdharau mtu yeyote; Ana uweza katika nguvu za fahamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema5 “Sikiliza Mungu ni mwenye nguvu wala hamdharau mtu yeyote; uwezo wa akili yake ni mkuu mno! Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND5 “Sikiliza Mungu ni mwenye nguvu wala hamdharau mtu yeyote; uwezo wa akili yake ni mkuu mno! Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza5 “Sikiliza Mungu ni mwenye nguvu wala hamdharau mtu yeyote; uwezo wa akili yake ni mkuu mno! Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu5 “Mungu ni mwenye nguvu, lakini hamdharau mwanadamu; ni mwenye nguvu, naye ni thabiti katika kusudi lake. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu5 “Mungu ni mwenye nguvu, lakini hamdharau mwanadamu; ni mwenye nguvu, naye ni thabiti katika shauri lake. Tazama sura |