Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 35:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Ziangalie mbingu ukaone; Na mawingu yaangalie, yaliyo juu kuliko wewe.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Hebu zitazame mbingu! Tazama mawingu yaliyo juu kuliko wewe!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Hebu zitazame mbingu! Tazama mawingu yaliyo juu kuliko wewe!

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Hebu zitazame mbingu! Tazama mawingu yaliyo juu kuliko wewe!

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Tazama juu mbinguni ukaone; yaangalie mawingu yaliyo juu sana juu yako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Tazama juu mbinguni ukaone; yaangalie mawingu yaliyo juu sana juu yako.

Tazama sura Nakili




Yobu 35:5
16 Marejeleo ya Msalaba  

Akamtoa nje, akasema, Tazama juu mbinguni kisha uzihesabu nyota, kama unaweza kuzihesabu. Akamwambia, Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.


Lakini Mungu je? Hakika atakaa juu ya nchi? Tazama, mbingu hazikutoshi, wala mbingu za mbingu; sembuse nyumba hii niliyoijenga!


Je! Wewe waweza kuuvumbua ukuu wa Mungu? Waweza kuufikia upeo wa huyo Mwenyezi?


Ni juu mno kama mbingu; waweza kufanya nini wewe? Ni wenye kina kuliko kuzimuni; waweza kujua nini wewe?


Je! Mungu hayuko mbinguni juu? Tena tazama umbali wa nyota, jinsi zilivyo juu!


Mimi nitakujibu, Na hawa wenzio pamoja nawe.


Tazama, Mungu ni mkuu, nasi hatumjui; Hesabu ya miaka yake haichunguziki.


Je! Wajua jinsi mawingu yalivyowekwa sawasawa, Hizo kazi za ajabu za huyo mkamilifu wa maarifa?


Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.


Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, ndivyo njia zangu zilivyo juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.


BWANA si mwepesi wa hasira, ana uweza mwingi, wala hatamhesabia mtu mwovu kuwa hana hatia kamwe; BWANA ana njia yake katika kisulisuli na tufani, na mawingu ni mavumbi ya miguu yake.


Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo