Yobu 34:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC6 Nijapokuwa mwenye haki, nimehesabiwa kuwa mwongo; Jeraha langu haliponyeki, nijapokuwa sina makosa. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema6 Ingawa sina hatia naonekana kuwa mwongo; kidonda changu hakiponyeki ingawa sina kosa.’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND6 Ingawa sina hatia naonekana kuwa mwongo; kidonda changu hakiponyeki ingawa sina kosa.’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza6 Ingawa sina hatia naonekana kuwa mwongo; kidonda changu hakiponyeki ingawa sina kosa.’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu6 Ingawa niko sawa, ninaonekana mwongo; nami ingawa sina kosa, kidonda changu hakiponi.’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu6 Ingawa niko sawa, ninaonekana mwongo; nami ingawa sina kosa, kidonda changu hakiponi.’ Tazama sura |