Yobu 34:37 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC37 Maana huongeza uasi juu ya dhambi zake, Apiga makofi kati yetu, Na kuongeza maneno yake kinyume cha Mungu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema37 Huongeza uasi juu ya dhambi zake; anaeneza mashaka kati yetu, na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND37 Huongeza uasi juu ya dhambi zake; anaeneza mashaka kati yetu, na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.” Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza37 Huongeza uasi juu ya dhambi zake; anaeneza mashaka kati yetu, na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.” Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu37 Kwenye dhambi yake huongeza uasi; kwa dharau hupiga makofi miongoni mwetu, na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.” Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu37 Kwenye dhambi yake huongeza uasi; kwa dharau hupiga makofi miongoni mwetu, na kuzidisha maneno yake dhidi ya Mungu.” Tazama sura |