Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 34:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno, Kama vile kaakaa lionjavyo chakula.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Sikio huyapima maneno, kama vile ulimi uonjavyo chakula.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Sikio huyapima maneno, kama vile ulimi uonjavyo chakula.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Sikio huyapima maneno, kama vile ulimi uonjavyo chakula.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno kama vile ulimi uonjavyo chakula.

Tazama sura Nakili




Yobu 34:3
8 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Sikio silo lijaribulo maneno, Kama vile kaakaa lionjavyo chakula?


(Naam, sikukiacha kinywa changu kufanya dhambi Kwa kuutaka uhai wake kwa kuapiza);


Tazama basi, nimefunua kinywa changu, Ulimi wangu umenena kinywani mwangu.


Sikilizeni maneno yangu, enyi wenye hekima; Tegeni masikio kwangu, ninyi mlio na maarifa.


Na tujichagulie yaliyo ya uelekevu; Na tujue wenyewe yaliyo mema.


Je! Mna udhalimu ulimini mwangu? Je! Makaakaa yangu hayatambui mambo ya madhara?


Lakini mtu wa rohoni huyatambua yote, wala yeye hatambuliwi na mtu.


Lakini chakula kigumu ni cha watu wazima, ambao akili zao, kwa kutumiwa, zimezoeshwa kupambanua mema na mabaya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo