Yobu 34:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC29 Akitoa utulivu yeye, ni nani awezaye kuhukumia makosa? Akificha uso wake, ni nani awezaye kumtazama? Kama hufanyiwa taifa, au mtu mmoja, ni sawasawa; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema29 Kama Mungu akinyamaza, nani awezaye kumlaumu? Kama akificha uso wake, nani awezaye kumwona, Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND29 Kama Mungu akinyamaza, nani awezaye kumlaumu? Kama akificha uso wake, nani awezaye kumwona, Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza29 Kama Mungu akinyamaza, nani awezaye kumlaumu? Kama akificha uso wake, nani awezaye kumwona, Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu29 Lakini akikaa kimya, ni nani awezaye kumhukumu? Akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumwona? Ikiwa ni taifa au mtu mmoja, kwake ni sawa, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu29 Lakini kama akinyamaza kimya, ni nani awezaye kumhukumu? Kama akiuficha uso wake, ni nani awezaye kumwona? Ikiwa ni taifa au mtu mmoja, kwake ni sawa, Tazama sura |