Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 34:24 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

24 Yeye huwavunjavunja mashujaa pasipo kuwachunguza, Na kuwaweka wengine mahali pao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

24 Huwaangamiza wenye nguvu bila uchunguzi, na kuwaweka wengine mahali pao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

24 Huwaangamiza wenye nguvu bila uchunguzi, na kuwaweka wengine mahali pao.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

24 Huwaangamiza wenye nguvu bila uchunguzi, na kuwaweka wengine mahali pao.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

24 Bila kuuliza huwapondaponda wenye nguvu nyingi na kuwaweka wengine mahali pao.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

24 Bila kuuliza huwapondaponda wenye nguvu nyingi na kuwaweka wengine mahali pao.

Tazama sura Nakili




Yobu 34:24
17 Marejeleo ya Msalaba  

Tena Bwana atajiinulia mfalme wa Israeli atakayeiharibu nyumba ya Yeroboamu siku ile; na nini tena hata sasa?


Yeye huwaondoa makuhani wakiwa wamevuliwa nguo. Na kuwapindua mashujaa.


Je! Mtanichukiza nafsi yangu hata lini, Na kunivunjavunja kwa maneno?


Utawaponda kwa fimbo ya chuma, Na kuwavunja kama chombo cha mfinyanzi.


Na atawatetea watu walioonewa, Awaokoe wahitaji, na kumwaangamiza mdhalimu.


Ee BWANA, wanawaponda watu wako; Wanautesa urithi wako;


Ndipo atauelekeza uso wake kwenye ngome za nchi yake mwenyewe; lakini atajikwaa na kuanguka, wala hataonekana tena.


Yeye hubadili majira na nyakati; hutengua na kuteua wafalme; huwapa hekima wenye hekima; huwapa wenye ufahamu maarifa;


Tena mtu yeyote alalaye na mwanamke aliye mjakazi, naye ameposwa na mwanamume mwingine, wala hakukombolewa kwa lolote, wala hakupewa uhuru wake; watachunguzwa; hawatauawa, kwa sababu huyo mwanamke hakuwa huru.


Basi Samweli akamwambia, Leo BWANA amekurarulia ufalme wa Israeli, naye amempa jirani yako, aliye mwema kuliko wewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo