Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 34:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Sikilizeni maneno yangu, enyi wenye hekima; Tegeni masikio kwangu, ninyi mlio na maarifa.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 “Sikilizeni maneno yangu enyi wenye hekima, nitegeeni masikio yenu, nyinyi wenye ujuzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 “Sikilizeni maneno yangu enyi wenye hekima, nitegeeni masikio yenu, nyinyi wenye ujuzi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 “Sikilizeni maneno yangu enyi wenye hekima, nitegeeni masikio yenu, nyinyi wenye ujuzi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 “Sikieni maneno yangu, enyi watu wenye hekima; nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye maarifa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 “Sikieni maneno yangu, enyi watu wenye hekima; nisikilizeni mimi, ninyi watu wenye maarifa.

Tazama sura Nakili




Yobu 34:2
5 Marejeleo ya Msalaba  

Tena Elihu akajibu na kusema,


Kwa kuwa sikio huyajaribu maneno, Kama vile kaakaa lionjavyo chakula.


mwenye hekima asikie na kuongezewa elimu, na mwenye ufahamu ayafikie mashauri yenye njia.


Nasema kama na watu wenye akili; lifikirini ninyi ninenalo.


Ndugu zangu, msiwe watoto katika akili zenu; lakini katika uovu mgeuzwe watoto wachanga, bali katika akili zenu muwe watu wazima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo