Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 34:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Je! Inafaa kumwambia mfalme, Wewe u mwovu? Au kuwaambia wakuu, Ninyi ni wabaya?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Amwambiaye mfalme, ‘Wewe ni takataka!’ Na watu mashuhuri, ‘Nyinyi ni waovu!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Amwambiaye mfalme, ‘Wewe ni takataka!’ Na watu mashuhuri, ‘Nyinyi ni waovu!’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Amwambiaye mfalme, ‘Wewe ni takataka!’ na watu mashuhuri, ‘Nyinyi ni waovu!’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 Je, si ni yeye awaambiaye wafalme, ‘Ninyi hamfai kitu,’ nao watu mashuhuri, ‘Ninyi ni waovu,’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 Je, si ni yeye awaambiaye wafalme, ‘Ninyi hamfai kitu,’ nao watu mashuhuri, ‘Ninyi ni waovu,’

Tazama sura Nakili




Yobu 34:18
10 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Atatawala mtu aichukiaye haki hata mmoja? Nawe, je! Utamhukumia mkosa aliye na haki na mwenye nguvu?


Sembuse yeye huwajali nyuso za wakuu, Wala hawajali matajiri kuliko maskini? Kwani wote ni kazi ya mikono yake,


Usimtukane Mungu, wala usimlaani mkuu wa watu wako.


Tena kumwadhibu mwenye haki si vizuri; Wala si vyema kuwapiga wakuu kwa unyofu wao.


Ndipo Paulo akamwambia, Mungu atakupiga wewe, ukuta uliopakwa chokaa. Wewe umeketi kunihukumu kulingana na sheria, nawe unaamuru nipigwe kinyume cha sheria?


Paulo akasema, Sikujua, ndugu zangu, ya kuwa yeye ni Kuhani Mkuu; maana imeandikwa, Usimnenee mabaya mkuu wa watu wako.


Wapeni wote haki zao; mtu wa kodi, kodi; mtu wa ushuru, ushuru; astahiliye hofu, hofu; astahiliye heshima, heshima.


Waheshimuni watu wote. Wapendeni ndugu. Mcheni Mungu. Mpeni heshima mfalme.


na hasa wale waufuatao mwili katika tamaa ya mambo machafu, na kudharau mamlaka.


Kadhalika na hawa, katika kuota kwao, huutia mwili uchafu, hukataa kutawaliwa, na kuyatukana matukufu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo