Yobu 34:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC18 Je! Inafaa kumwambia mfalme, Wewe u mwovu? Au kuwaambia wakuu, Ninyi ni wabaya? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema18 Amwambiaye mfalme, ‘Wewe ni takataka!’ Na watu mashuhuri, ‘Nyinyi ni waovu!’ Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND18 Amwambiaye mfalme, ‘Wewe ni takataka!’ Na watu mashuhuri, ‘Nyinyi ni waovu!’ Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza18 Amwambiaye mfalme, ‘Wewe ni takataka!’ na watu mashuhuri, ‘Nyinyi ni waovu!’ Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu18 Je, si ni yeye awaambiaye wafalme, ‘Ninyi hamfai kitu,’ nao watu mashuhuri, ‘Ninyi ni waovu,’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu18 Je, si ni yeye awaambiaye wafalme, ‘Ninyi hamfai kitu,’ nao watu mashuhuri, ‘Ninyi ni waovu,’ Tazama sura |