Yobu 34:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC17 Je! Atatawala mtu aichukiaye haki hata mmoja? Nawe, je! Utamhukumia mkosa aliye na haki na mwenye nguvu? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema17 Je, anayetawala ulimwengu kwa sheria zake anachukia haki? Je, utathubutu kumhukumu mwadilifu na mwenye nguvu? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND17 Je, anayetawala ulimwengu kwa sheria zake anachukia haki? Je, utathubutu kumhukumu mwadilifu na mwenye nguvu? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza17 Je, anayetawala ulimwengu kwa sheria zake anachukia haki? Je, utathubutu kumhukumu mwadilifu na mwenye nguvu? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu17 Je, yeye aichukiaye haki aweza kutawala? Je, utamhukumu mwenye haki, yeye Aliye na Nguvu Zote? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu17 Je, yeye aichukiaye haki aweza kutawala? Je, utamhukumu mwenye haki, Aliye na Nguvu Zote? Tazama sura |