Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 34:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

15 Wenye mwili wote wangeangamia pamoja, Nao wanadamu watarejea tena kuwa mavumbi.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

15 viumbe vyote vingeangamia kabisa, naye binadamu angerudi mavumbini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

15 viumbe vyote vingeangamia kabisa, naye binadamu angerudi mavumbini.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

15 viumbe vyote vingeangamia kabisa, naye binadamu angerudi mavumbini.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

15 wanadamu wote wangeangamia kwa pamoja, na mtu angerudi mavumbini.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

15 wanadamu wote wangeliangamia kwa pamoja, na mtu angerudi mavumbini.

Tazama sura Nakili




Yobu 34:15
12 Marejeleo ya Msalaba  

kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.


Wakafa watu wote waendao juu ya nchi, na ndege, na wanyama wa kufugwa, na kila mnyama wa mwitu, na kila kitambaacho chenye kutambaa juu ya nchi, na kila mwanadamu;


Kwa kuwa hatuna budi kufa, nasi tu kama maji yaliyomwagika chini, yasiyoweza kuzoleka tena; wala Mungu haondoi maisha ila hufikiri shauri, kwamba yeye aliyefukuzwa asiwe mkimbizi kwake.


Kumbuka, nakusihi ulivyonifinyanga kama vile udongo; Nawe, je! Utanirudisha uvumbini tena?


Kwani najua kuwa utanileta hata kifoni, Niifikie nyumba waliyoaandaliwa wenye uhai wote.


Ikiwa una ufahamu, sikia neno hili; Isikilize sauti ya maneno yangu.


Hayo yote ni mamoja; kwa hiyo nasema, Yeye huangamiza wakamilifu na waovu pia.


Wewe wauficha uso wako, Wao wanafadhaika; Waiondoa pumzi yao, wanakufa, Na kuyarudia mavumbi yao,


Nayo mavumbi kuirudia nchi kama yalivyokuwa, Nayo roho kumrudia Mungu aliyeitoa.


Mimi sina hasira ndani yangu; Kama mbigili na miiba ingekuwa mbele zangu, Ningepanga vita juu yake, Ningeiteketeza yote pamoja.


Kwa kuwa sitashindana na watu siku zote, wala sitakuwa na hasira siku zote; maana roho ingezimia mbele zangu, na hizo nafsi nilizozifanya.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo