Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 33:6 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

6 Tazama, mimi ni mbele ya Mungu kama ulivyo wewe; Mimi nami nilifinyangwa katika udongo.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

6 Wewe na mimi ni sawa mbele ya Mungu; mimi pia niliumbwa kwa sehemu ya udongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

6 Wewe na mimi ni sawa mbele ya Mungu; mimi pia niliumbwa kwa sehemu ya udongo.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

6 Wewe na mimi ni sawa mbele ya Mungu; mimi pia niliumbwa kwa sehemu ya udongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

6 Mimi ni kama wewe mbele za Mungu; mimi pia nimetolewa kwenye udongo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

6 Mimi ni kama wewe mbele za Mungu; mimi pia nimetolewa kwenye udongo.

Tazama sura Nakili




Yobu 33:6
15 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa kiumbe hai.


kwa jasho la uso wako utakula chakula, hata utakapoirudia ardhi, ambayo katika hiyo ulitwaliwa; kwa maana u mavumbi wewe, nawe mavumbini utarudi.


Yakobo akamghadhibikia Raheli, akasema, Je! Mimi ni badala ya Mungu, aliyekuzuilia uzao wa mimba?


Kumbuka, nakusihi ulivyonifinyanga kama vile udongo; Nawe, je! Utanirudisha uvumbini tena?


Maneno yenu ya hekima ni mithali ya majivu, Ngome zenu ni ngome za udongo.


Hakika ningenena naye huyo Mwenyezi, Nami nataka kuhojiana na Mungu.


Katika kujaa kwa wingi wake atakuwa katika dhiki; Mkono wa kila anayesumbuliwa utamjia.


Laiti ningekuwa na mtu wa kunisikia! (Tazama, sahihi yangu ni hii, Mwenyezi na anijibu); Laiti ningekuwa na hayo mashitaka yaliyoandikwa na adui yangu!


Je! Si zaidi sana hao wakaao katika nyumba za udongo, Ambazo misingi yao i katika mchanga, Hao wanaopondwa kama nondo!


Naye atakuwa msemaji wako kwa watu, hata yeye atakuwa mfano wa kinywa kwako, nawe utakuwa mfano wa Mungu kwake.


Lakini tuna hazina hii katika vyombo vya udongo, ili adhama kuu ya uwezo iwe ya Mungu, wala si kutoka kwetu.


Kwa maana twajua ya kuwa nyumba ya maskani yetu iliyo ya dunia hii ikiharibiwa, tunalo jengo litokalo kwa Mungu, nyumba isiyofanywa kwa mikono, iliyo ya milele mbinguni.


Basi tu wajumbe kwa ajili ya Kristo, kana kwamba Mungu anasihi kwa vinywa vyetu; twawaomba ninyi kwa ajili ya Kristo mpatanishwe na Mungu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo