Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 33:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

33 Kama sivyo, unisikilize mimi; Nyamaza, nami nitakufunza hekima.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 La sivyo, nyamaza unisikilize, kaa kimya nami nikufunze hekima.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 La sivyo, nyamaza unisikilize, kaa kimya nami nikufunze hekima.”

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 La sivyo, nyamaza unisikilize, kaa kimya nami nikufunze hekima.”

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 Lakini kama huna la kusema, basi nisikilize mimi; nyamaza, nami nitakufundisha hekima.”

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 Lakini kama huna la kusema, basi nisikilize mimi; nyamaza, nami nitakufundisha hekima.”

Tazama sura Nakili




Yobu 33:33
9 Marejeleo ya Msalaba  

Maneno yangu yatatamka uelekevu wa moyo wangu; Na hayo niyajuayo midomo yangu itayanena kwa unyofu.


Kama una neno la kusema, nijibu; Nena, kwani nataka kukuhesabia kuwa na haki.


Tena Elihu akajibu na kusema,


Njoni, enyi wana, mnisikilize, Nami nitawafundisha kumcha BWANA.


Ni nani atamaniye uzima na atakaye kuishi, Siku nyingi afurahie mema?


Kinywa changu kitanena hekima, Na fikira za moyo wangu zitakuwa za busara.


Enyi wajinga, fahamuni werevu, Nanyi wapumbavu, mpate moyo wa kufahamu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo