Yobu 33:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC32 Kama una neno la kusema, nijibu; Nena, kwani nataka kukuhesabia kuwa na haki. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema32 Kama una la kusema, nijibu; sema, maana nataka kukuona huna hatia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND32 Kama una la kusema, nijibu; sema, maana nataka kukuona huna hatia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza32 Kama una la kusema, nijibu; sema, maana nataka kukuona huna hatia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu32 Kama unalo lolote la kusema, unijibu; sema, kwa maana ninataka uonekane huna hatia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu32 Kama unalo lolote la kusema, unijibu; sema, kwa maana ninataka uonekane huna hatia. Tazama sura |