Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 33:3 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

3 Maneno yangu yatatamka uelekevu wa moyo wangu; Na hayo niyajuayo midomo yangu itayanena kwa unyofu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

3 Nitasema kadiri ya unyofu wa moyo wangu; ninayoyajua nitayasema kwa uaminifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

3 Nitasema kadiri ya unyofu wa moyo wangu; ninayoyajua nitayasema kwa uaminifu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

3 Nitasema kadiri ya unyofu wa moyo wangu; ninayoyajua nitayasema kwa uaminifu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

3 Maneno yangu yanatoka katika moyo mnyofu; midomo yangu hunena kwa uaminifu yale niyajuayo.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

3 Maneno yangu yanatoka katika moyo mnyofu; midomo yangu hunena kwa uaminifu yale niyajuayo.

Tazama sura Nakili




Yobu 33:3
15 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Yapasa mtu mwenye hekima kujibu kwa ujuzi wa uvuvio, Na kulijaza tumbo lake upepo wa mashariki?


Hakika midomo yangu haitanena yasiyo haki, Wala ulimi wangu hautatamka udanganyifu.


Tafadhali, nisiupendelee uso wa mtu; Wala sitajipendekeza kwa mtu yeyote.


Kwa kuwa mimi sijui kujipendekeza; Au Muumba wangu angeniondoa kwa upesi.


Tazama basi, nimefunua kinywa changu, Ulimi wangu umenena kinywani mwangu.


Ni nani huyu atiaye ushauri giza Kwa maneno yasiyo na maarifa?


Sasa basi iweni radhi kuniangalia; Kwani hakika sitanena uongo usoni penu.


Ulimi wa mwenye hekima hutamka maarifa vizuri; Bali vinywa vya wapumbavu humwaga upumbavu.


Midomo ya mwenye haki hueneza maarifa; Bali moyo wa mpumbavu haufanyi hivyo.


Dhahabu iko, na marijani tele; Lakini midomo ya maarifa ni kito cha thamani.


Kwa kuwa nawapa mafundisho mazuri; Msiiache sheria yangu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo