Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 33:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

29 Tazama, hayo yote ni Mungu anayeyafanya, Mara mbili, naam, hata mara tatu, kwa mtu,

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

29 “Tazama Mungu humfanyia binadamu haya yote, tena mara mbili, mara tatu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

29 “Tazama Mungu humfanyia binadamu haya yote, tena mara mbili, mara tatu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

29 “Tazama Mungu humfanyia binadamu haya yote, tena mara mbili, mara tatu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

29 “Mungu hufanya haya yote kwa mwanadamu; mara mbili hata mara tatu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

29 “Mungu hufanya haya yote kwa mwanadamu; mara mbili hata mara tatu,

Tazama sura Nakili




Yobu 33:29
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme wa Israeli akapeleka watu mpaka mahali pale alipoambiwa na yule mtu wa Mungu, na kuhadharishwa; akajiokoa nafsi yake, si mara moja, wala si mara mbili.


Nimenena mara moja, nami sitajibu; Naam, nimenena mara mbili, lakini sitaendelea zaidi.


Kisha kuna uwezo tofauti wa kutenda kazi, bali Mungu ni yeye yule azitendaye kazi zote katika wote.


Kwa ajili ya kitu hicho nilimsihi Bwana mara tatu kwamba kinitoke.


Basi yeye aliyetufanya kwa ajili ya neno lilo hilo ni Mungu, aliyetupa arabuni ya Roho.


na ndani yake sisi nasi tulifanywa urithi, huku tukichaguliwa tangu awali sawasawa na kusudi lake yeye, ambaye hufanya mambo yote kwa shauri la mapenzi yake.


Kwa maana ndiye Mungu atendaye kazi ndani yenu, kutaka kwenu na kutenda kwenu, kwa kulitimiza kusudi lake jema.


Nami najitaabisha kwa neno lilo hilo, nikijitahidi kwa kadiri ya kutenda kazi kwake atendaye kazi ndani yangu kwa nguvu.


awafanye ninyi kuwa wakamilifu katika kila tendo jema, mpate kuyafanya mapenzi yake, naye akifanya ndani yetu lipendezalo mbele zake, kwa Yesu Kristo; utukufu una yeye milele na milele. Amina.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo