Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 33:28 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

28 Yeye ameikomboa nafsi yangu isiende shimoni, Na uhai wangu utautazama mwanga.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

28 Mungu aliniokoa nisiangamie Shimoni; nimebaki hai na ninaona mwanga.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

28 Mungu aliniokoa nisiangamie Shimoni; nimebaki hai na ninaona mwanga.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

28 Mungu aliniokoa nisiangamie Shimoni; nimebaki hai na ninaona mwanga.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

28 Alinikomboa nafsi yangu nisitumbukie shimoni, nami nitaishi ili kuufurahia mwanga.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

28 Alinikomboa nafsi yangu nisitumbukie shimoni, nami nitaishi ili kuufurahia mwanga.’

Tazama sura Nakili




Yobu 33:28
19 Marejeleo ya Msalaba  

Litashuka kwenye makomeo ya kuzimu, Itakapokuwapo raha mavumbini.


Nawe utakusudia neno, nalo litathibitika kwako; Na mwanga utaziangazia njia zako.


Au, mbona kuzikwa kama mimba iliyoharibika, nisingekuwako; Kama wachanga wasiouona mwanga kabisa.


Mbona yeye aliye mashakani kupewa mwanga, Na hao wenye uchungu rohoni kupewa uhai;


Nyota za mapambazuko yake na ziwe giza; Na utafute mwanga lakini usiupate; Wala usiyaone mapambazuko;


Yeye huizuia nafsi yake isiende shimoni, Na uhai wake usiangamie kwa upanga.


Hata roho yake huchukia chakula, Na nafsi yake huchukia nyama nzuri.


Naam, nafsi yake inakaribia shimoni, Na uhai wake unakaribia waangamizi.


Ndipo amwoneapo rehema, na kusema, Mwokoe asishuke shimoni; Mimi nimeuona ukombozi.


Aukomboa uhai wako kutoka kwa kaburi, Akutia taji la fadhili na rehema,


Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao.


Atakwenda kwenye kizazi cha baba zake Hawataona nuru hata milele.


Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.


Mkondo usinigharikishe, wala vilindi visinimeze, Wala Shimo lisifumbe kinywa chake juu yangu.


Watu wale waliokwenda katika giza Wameona nuru kuu; Wale waliokaa katika nchi ya uvuli wa mauti, Nuru imewaangaza.


Nilishuka hata pande za chini za milima; Hiyo nchi ambayo mapingo yake yanafunga hata milele; Lakini umeipandisha nafsi yangu kutoka humo shimoni, Ee BWANA, Mungu wangu,


Yesu akajibu, Je! Saa za mchana si kumi na mbili? Mtu akienda mchana hajikwai; kwa sababu aiona nuru ya ulimwengu huu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo