Yobu 33:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC26 Yeye humwomba Mungu, naye akamtakabalia; Hata auone uso wake kwa furaha; Naye humrejeshea mtu haki yake. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema26 Kisha atamwomba Mungu na kukubaliwa, atakuja mbele yake kwa furaha, na Mungu atamrudishia fahari yake. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND26 Kisha atamwomba Mungu na kukubaliwa, atakuja mbele yake kwa furaha, na Mungu atamrudishia fahari yake. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza26 Kisha atamwomba Mungu na kukubaliwa, atakuja mbele yake kwa furaha, na Mungu atamrudishia fahari yake. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu26 Humwomba Mungu, akapata kibali kwake, huuona uso wa Mungu na kushangilia kwa furaha; Mungu humrudisha katika hali yake ya uadilifu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu26 Humwomba Mungu, akapata kibali kwake, huuona uso wa Mungu na kushangilia kwa furaha; Mungu humrudisha katika hali yake ya uadilifu. Tazama sura |