Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 33:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Yeye huizuia nafsi yake isiende shimoni, Na uhai wake usiangamie kwa upanga.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Hivyo humkinga mtu asiangamie shimoni, maisha yake yasiangamie kwa upanga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Hivyo humkinga mtu asiangamie shimoni, maisha yake yasiangamie kwa upanga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Hivyo humkinga mtu asiangamie shimoni, maisha yake yasiangamie kwa upanga.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 kuiokoa nafsi yake na shimo, uhai wake usiangamizwe kwa upanga.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 kuiokoa nafsi yake na shimo, uhai wake usiangamizwe kwa upanga.

Tazama sura Nakili




Yobu 33:18
12 Marejeleo ya Msalaba  

Yeye hasadiki kwamba atarudi kutoka gizani, Naye hungojewa na upanga;


Ili amwondoe mtu katika makusudio yake, Na kumfichia mtu kiburi;


Naam, nafsi yake inakaribia shimoni, Na uhai wake unakaribia waangamizi.


Ndipo amwoneapo rehema, na kusema, Mwokoe asishuke shimoni; Mimi nimeuona ukombozi.


Yeye ameikomboa nafsi yangu isiende shimoni, Na uhai wangu utautazama mwanga.


Ili kurudisha roho yake itoke shimoni, Ili atiwe mwanga kwa mwanga wa walio hai.


Lakini wasiposikia, wataangamia kwa upanga, Nao watakufa pasipo maarifa.


Wala hapana mmoja amsukumaye mwenzake; huendelea mbele kila mmoja katika njia yake; hujifanyia njia kwa nguvu kati ya silaha, wala hawaachi kuifuata njia yao.


Au waudharau wingi wa wema wake na ustahimili wake na uvumilivu wake, usijue ya kuwa wema wa Mungu wakuvuta upate kutubu?


Nanyi uhesabuni uvumilivu wa Bwana wetu kuwa ni wokovu, kama vile na ndugu yetu mpenzi Paulo alivyowaandikia kwa hekima aliyopewa;


Bwana hakawii kuitimiza ahadi yake, kama wengine wanavyodhani anakawia, bali huwavumilia, maana hapendi mtu yeyote apotee, bali wote wafikie toba.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo