Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 32:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

9 Sio wakuu walio wenye hekima, Wala sio wazee watambuao haki.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

9 Si lazima kuwa mzee ili uwe na hekima wala wazee siyo wenye kufahamu lililo sawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

9 Si lazima kuwa mzee ili uwe na hekima wala wazee siyo wenye kufahamu lililo sawa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

9 Si lazima kuwa mzee ili uwe na hekima wala wazee siyo wenye kufahamu lililo sawa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

9 Sio wazee peke yao walio na hekima, sio wenye umri mkubwa peke yao wanaofahamu lililo sawa.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

9 Sio wazee peke yao walio na hekima, sio wenye umri mkubwa peke yao wanaofahamu lililo sawa.

Tazama sura Nakili




Yobu 32:9
14 Marejeleo ya Msalaba  

Kisha mfalme akawaambia watumishi wake, Hamjui ya kuwa mkuu mmoja, naye ni mtu mkubwa ameanguka leo katika Israeli?


Huondoa usemi wa hao walioaminiwa, Na kuondoa fahamu za wazee.


Basi nilisema, Nisikilizeni mimi; Mimi nami nitawaonesha nionavyo.


Nilisema, Yafaa siku ziseme, Na wingi wa miaka ufundishe hekima.


Je! Kamba ya hema yao haikung'olewa ndani yao? Nao hufa hata bila kuwa na hekima.


Ninao ufahamu kuliko wazee, Kwa kuwa nimeyashika mausia yako.


Kwa mausia yako najipatia ufahamu, Ndiyo maana naichukia kila njia ya uongo.


Heri kijana maskini mwenye hekima Kuliko mfalme mzee mpumbavu ambaye hajui tena kupokea maonyo.


nitawaendea watu wakubwa, nami nitasema nao; kwa maana hao wanaijua njia ya BWANA, na hukumu ya Mungu wao. Bali hawa kwa nia moja wameivunja nira, na kuvikata vifungo.


Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga.


Ni nani katika wakuu amwaminiye, au katika Mafarisayo?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo