Yobu 32:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC8 Lakini hakika imo roho ndani ya mwanadamu, Na pumzi ya Mwenyezi ndiyo impayo ufahamu. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema8 Lakini hiyo roho iliyomo ndani ya mtu, hiyo pumzi ya Mungu Mwenye Nguvu, ndio inayomwezesha mwanadamu kufahamu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND8 Lakini hiyo roho iliyomo ndani ya mtu, hiyo pumzi ya Mungu Mwenye Nguvu, ndio inayomwezesha mwanadamu kufahamu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza8 Lakini hiyo roho iliyomo ndani ya mtu, hiyo pumzi ya Mungu Mwenye Nguvu, ndio inayomwezesha mwanadamu kufahamu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu8 Lakini ni Roho iliyo ndani ya mwanadamu, pumzi ya Mwenyezi, ndiyo impayo ufahamu. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu8 Lakini ni Roho iliyoko ndani ya mwanadamu, pumzi ya Mwenyezi, ndiyo impayo yeye ufahamu. Tazama sura |