Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 32:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

7 Nilisema, Yafaa siku ziseme, Na wingi wa miaka ufundishe hekima.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

7 Nilisema moyoni: ‘Waache wenye siku nyingi waseme, wenye miaka mingi wafundishe hekima.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

7 Nilisema moyoni: ‘Waache wenye siku nyingi waseme, wenye miaka mingi wafundishe hekima.’

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

7 Nilisema moyoni: ‘Waache wenye siku nyingi waseme, wenye miaka mingi wafundishe hekima.’

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

7 Nilifikiri, ‘Yafaa umri useme, nao wingi wa miaka ungefundisha hekima.’

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

7 Nilifikiri, ‘Yafaa umri useme, nao wingi wa miaka ungefundisha hekima.’

Tazama sura Nakili




Yobu 32:7
11 Marejeleo ya Msalaba  

Mfalme Rehoboamu akataka shauri kwa wazee, waliosimama mbele ya Sulemani baba yake, alipokuwa hai bado, akasema, Mnanipa shauri gani la kuwajibu watu hawa?


Wazee ndio walio na hekima, Na katika kuishi siku nyingi iko fahamu.


Wenye mvi, na walio wazee sana, wote wapo pamoja nasi, Ambao ni wazee kuliko baba yako.


Sio wakuu walio wenye hekima, Wala sio wazee watambuao haki.


Ninao ufahamu kuliko wazee, Kwa kuwa nimeyashika mausia yako.


Kichwa chenye mvi ni taji la utukufu, Kama kikionekana katika njia ya haki.


Kwa maana, iwapasapo kuwa waalimu, (maana wakati mwingi umepita), mnahitaji kufundishwa na mtu mafundisho ya kwanza ya maneno ya Mungu; nanyi mmekuwa mnahitaji maziwa wala si chakula kigumu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo