Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 32:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Hata Elihu alipoona kuwa hapana jawabu katika vinywa vya watu hao watatu, hasira zake ziliwaka.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Lakini alipoona hao watu watatu wameshindwa kumjibu Yobu, aliwaka hasira.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Lakini alipoona hao watu watatu wameshindwa kumjibu Yobu, aliwaka hasira.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Lakini alipoona hao watu watatu wameshindwa kumjibu Yobu, aliwaka hasira.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 Lakini alipoona watu hao watatu hawakuwa na kitu zaidi cha kusema, hasira yake ikaamka.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 Lakini alipoona watu hao watatu hawakuwa na kitu zaidi cha kusema, hasira yake ikaamka.

Tazama sura Nakili




Yobu 32:5
4 Marejeleo ya Msalaba  

Ndipo zikawaka hasira za huyo Elihu mwana wa Barakeli, Mbuzi, katika jamaa ya Ramu, juu ya Ayubu, kwa sababu alikuwa amejipa haki mwenyewe zaidi ya Mungu.


Basi huyo Elihu alikuwa anangoja ili anene na Ayubu, kwa sababu hao wengine walikuwa wazee kuliko yeye.


Basi Elihu mwana wa Barakeli, Mbuzi, akajibu, na kusema, Mimi ni kijana, na ninyi ni wazee sana; Kwa hiyo nilijizuia, nisithubutu kuwaonesha nionavyo.


Hata alipokaribia kambini akaiona ile ndama, na ile michezo. Hasira ya Musa ikawaka, akazitupa zile mbao mikononi mwake, akazivunja chini ya mlima.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo