Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 32:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

16 Na mimi, je! Ningoje, kwa sababu hawaneni, Kwa sababu wasimama kimya, wala wasijibu tena;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

16 Je, ningoje tu kwa vile hamsemi, kwa sababu mnakaa tu bila kujibu kitu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

16 Je, ningoje tu kwa vile hamsemi, kwa sababu mnakaa tu bila kujibu kitu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

16 Je, ningoje tu kwa vile hamsemi, kwa sababu mnakaa tu bila kujibu kitu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

16 Je, ningoje sasa kwa sababu wamekuwa kimya, kwa vile sasa wanasimama bila kuwa na la kujibu?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

16 Je, ningoje sasa kwa sababu wamekuwa kimya, kwa vile sasa wanasimama bila kuwa na la kujibu?

Tazama sura Nakili




Yobu 32:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

Laiti mngenyamaza kabisa! Hilo lingekuwa hekima kwenu.


Wameshangaa, hawajibu tena; Hawana neno la kusema.


Mimi nami nitajibu sehemu yangu, Mimi nami nitaonesha nionavyo.


Hata mpumbavu akinyamaza, huhesabiwa hekima; Akifumba midomo yake, huhesabiwa ufahamu.


Kwa ajili ya hayo mwenye busara atanyamaza kimya wakati kama huo; kwa kuwa ni wakati mbaya.


Hayo mnajua, ndugu zangu wapenzi. Basi kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, bali si mwepesi wa kusema; wala kukasirika;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo