Yobu 32:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC16 Na mimi, je! Ningoje, kwa sababu hawaneni, Kwa sababu wasimama kimya, wala wasijibu tena; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema16 Je, ningoje tu kwa vile hamsemi, kwa sababu mnakaa tu bila kujibu kitu? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND16 Je, ningoje tu kwa vile hamsemi, kwa sababu mnakaa tu bila kujibu kitu? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza16 Je, ningoje tu kwa vile hamsemi, kwa sababu mnakaa tu bila kujibu kitu? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu16 Je, ningoje sasa kwa sababu wamekuwa kimya, kwa vile sasa wanasimama bila kuwa na la kujibu? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu16 Je, ningoje sasa kwa sababu wamekuwa kimya, kwa vile sasa wanasimama bila kuwa na la kujibu? Tazama sura |