Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 32:14 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

14 Kwa kuwa yeye hajayaelekeza maneno yake kwangu; Wala sitamjibu mimi kwa maneno yenu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

14 Maneno ya Yobu hayakuwa kwa ajili yangu, kwa hiyo sitamjibu kama mlivyomjibu nyinyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

14 Maneno ya Yobu hayakuwa kwa ajili yangu, kwa hiyo sitamjibu kama mlivyomjibu nyinyi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

14 Maneno ya Yobu hayakuwa kwa ajili yangu, kwa hiyo sitamjibu kama mlivyomjibu nyinyi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

14 Lakini Ayubu hajayapanga maneno yake dhidi yangu, nami sitamjibu kwa kutumia hoja zenu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

14 Lakini Ayubu hajayapanga maneno yake dhidi yangu, nami sitamjibu kwa kutumia hoja zenu.

Tazama sura Nakili




Yobu 32:14
3 Marejeleo ya Msalaba  

Jitunzeni msiseme, Sisi tumepata hekima; Mungu huenda akamshinda, si mtu;


Wameshangaa, hawajibu tena; Hawana neno la kusema.


Ikiwa unaweza, nijibu; Yapange maneno yako sawasawa mbele yangu, usimame.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo