Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 31:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

33 Ikiwa kama mwanadamu nimeyafunika makosa yangu, Kwa kuuficha uovu wangu kifuani mwangu;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

33 Je nimeficha makosa yangu kama wengine? Je nimekataa kukiri dhambi zangu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

33 Je nimeficha makosa yangu kama wengine? Je nimekataa kukiri dhambi zangu?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

33 Je nimeficha makosa yangu kama wengine? Je nimekataa kukiri dhambi zangu?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

33 kama nimeifunika dhambi yangu kama wanadamu wengine wafanyavyo, kwa kuficha hatia yangu moyoni mwangu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

33 kama nimeifunika dhambi yangu kama wanadamu wengine wafanyavyo, kwa kuficha hatia yangu moyoni mwangu,

Tazama sura Nakili




Yobu 31:33
11 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Nilisikia sauti yako bustanini, nikaogopa kwa kuwa mimi ni uchi; nikajificha.


Adamu akasema, Huyo mwanamke uliyenipa awe pamoja nami ndiye aliyenipa matunda ya mti huo, nikala.


Ndipo akasema, Wameona nini nyumbani mwako? Hezekia akajibu, Vitu vyote vilivyomo nyumbani mwangu wameviona; hapana kitu nisichowaonesha katika hazina zangu.


Mgeni hakulala njiani; Lakini nilimfungulia msafiri milango yangu;


Ndipo nikakuungamia dhambi yangu, Wala sikuuficha upotovu wangu. Nilisema, Nitayakiri maasi yangu kwa BWANA, Nawe ukanisamehe upotovu wa dhambi yangu.


Afichaye dhambi zake hatafanikiwa; Bali yeye aziungamaye na kuziacha atapata rehema.


Lakini wao wamelivunja hilo agano kama Adamu; huko wamenitenda mambo ya hiana.


Petro akamjibu, Niambie, Mlikiuza kiwanja kwa thamani hiyo? Akasema, Ndiyo, kwa thamani hiyo.


Israeli wamefanya dhambi, naam, wamelivunja agano langu nililowaagiza; naam, wametwaa baadhi ya vitu vilivyowekwa wakfu; tena wameiba, tena wameficha na kuvitia pamoja na vitu vyao wenyewe.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo