Yobu 31:33 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC33 Ikiwa kama mwanadamu nimeyafunika makosa yangu, Kwa kuuficha uovu wangu kifuani mwangu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema33 Je nimeficha makosa yangu kama wengine? Je nimekataa kukiri dhambi zangu? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND33 Je nimeficha makosa yangu kama wengine? Je nimekataa kukiri dhambi zangu? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza33 Je nimeficha makosa yangu kama wengine? Je nimekataa kukiri dhambi zangu? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu33 kama nimeifunika dhambi yangu kama wanadamu wengine wafanyavyo, kwa kuficha hatia yangu moyoni mwangu, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu33 kama nimeifunika dhambi yangu kama wanadamu wengine wafanyavyo, kwa kuficha hatia yangu moyoni mwangu, Tazama sura |