Yobu 31:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC31 Kama watu wa hemani mwangu hawakunena, Ni nani awezaye kumpata mtu asiyeshibishwa na yeye kwa nyama? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema31 Watumishi wangu wote wanasema wazi kila mgeni amekaribishwa nyumbani mwangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND31 Watumishi wangu wote wanasema wazi kila mgeni amekaribishwa nyumbani mwangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza31 Watumishi wangu wote wanasema wazi kila mgeni amekaribishwa nyumbani mwangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu31 kama watu wa nyumbani mwangu kamwe hawakusema, ‘Ni nani ambaye hajashibishwa na nyama ya Ayubu?’ Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu31 kama watu wa nyumbani mwangu kamwe hawakusema, ‘Ni nani ambaye hajashibishwa na nyama ya Ayubu?’ Tazama sura |