Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 30:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

4 Hung'oa mboga ya chumvi kwenye kichaka; Na mizizi ya mretemu ni chakula chao.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

4 Walichuma mimea jangwani na majani msituni wakala, walikula hata mizizi ya mti wa mfagio.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

4 Walichuma mimea jangwani na majani msituni wakala, walikula hata mizizi ya mti wa mfagio.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

4 Walichuma mimea jangwani na majani msituni wakala, walikula hata mizizi ya mti wa mfagio.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

4 Katika vichaka walikusanya mimea ya chumvi, nacho chakula chao kilikuwa mizizi ya mti wa mfagio.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

4 Katika vichaka walikusanya mimea ya chumvi, nacho chakula chao kilikuwa mizizi ya mti wa mfagio.

Tazama sura Nakili




Yobu 30:4
6 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini yeye mwenyewe akaendelea katika jangwa mwendo wa siku moja, akaenda akaketi chini ya mretemu. Akajiombea roho yake afe, akasema, Yatosha; sasa, Ee BWANA, uiondoe roho yangu; kwa kuwa mimi si mwema kuliko baba zangu.


Wamekonda kwa uhitaji na njaa; Huguguna nchi kavu, penye giza la ukiwa na uharibifu.


Hufukuzwa watoke kati ya watu; Huwapigia kelele kama kumpigia mwizi.


Ndipo Amosi akajibu akamwambia Amazia, Mimi sikuwa nabii, wala sikuwa mwana wa nabii; bali nilikuwa mchungaji, na mtunza mikuyu;


Akawa akitamani kujishibisha kwa maganda waliyokula nguruwe, wala hapana mtu aliyempa kitu.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo