Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 30:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Wewe umegeuka kuwa mkali kwangu; Nawe waniudhi kwa uweza wa mkono wako.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Umegeuka kuwa mkatili kwangu, wanitesa kwa mkono wako wenye nguvu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Umegeuka kuwa mkatili kwangu, wanitesa kwa mkono wako wenye nguvu.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Umegeuka kuwa mkatili kwangu, wanitesa kwa mkono wako wenye nguvu.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Wewe unanigeukia bila huruma; unanishambulia kwa nguvu za mkono wako.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Wewe unanigeukia bila huruma; unanishambulia kwa nguvu za mkono wako.

Tazama sura Nakili




Yobu 30:21
15 Marejeleo ya Msalaba  

Je! Ni vema kwako wewe kuonea, Na kuidharau kazi ya mikono yako, Na kuiunga mkono mipango ya waovu?


Mbona umeuficha uso wako, Na kunihesabu kuwa ni adui yako?


Mbona ninyi mnaniudhi kama Mungu, Wala hamkutosheka na nyama yangu?


Je! Angeshindana nami kwa ukuu wa uwezo wake? La, lakini angenisikiliza.


Ndipo zikawaka hasira za huyo Elihu mwana wa Barakeli, Mbuzi, katika jamaa ya Ramu, juu ya Ayubu, kwa sababu alikuwa amejipa haki mwenyewe zaidi ya Mungu.


Kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda; Kwamba angeulegeza mkono wake na kunikatilia mbali!


Mkono wako ni mkono wenye uweza, Mkono wako una nguvu, Mkono wako wa kulia umetukuka.


Wote wakupendao wamekusahau; hawakutafuti; maana nimekujeruhi kwa jeraha la adui, kwa adhabu ya mtu mkatili; kwa sababu ya ukubwa wa uovu wako, kwa sababu dhambi zako zilikuwa zimeongezeka.


Basi nyenyekeeni chini ya mkono wa Mungu ulio hodari, ili awakweze kwa wakati wake;


Tufuate:

Matangazo


Matangazo