Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 30:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

2 Naam, uwezo wa mikono yao utanifaa nini? Watu ambao nguvu zao zimekoma.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

2 Ningepata faida gani mikononi mwao, watu ambao nguvu zao zilikuwa zimewaishia?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

2 Ningepata faida gani mikononi mwao, watu ambao nguvu zao zilikuwa zimewaishia?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

2 Ningepata faida gani mikononi mwao, watu ambao nguvu zao zilikuwa zimewaishia?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

2 Nguvu za mikono yao zingekuwa na faida gani kwangu, kwa kuwa nguvu zao zilikuwa zimewaishia?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

2 Nguvu za mikono yao zingekuwa na faida gani kwangu, kwa kuwa nguvu zao zilikuwa zimewaishia?

Tazama sura Nakili




Yobu 30:2
3 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini sasa hao walio wadogo wangu hunifanyia mzaha, Ambao baba zao ningewadharau hata kuwasimamia mbwa wa kundi langu.


Wamekonda kwa uhitaji na njaa; Huguguna nchi kavu, penye giza la ukiwa na uharibifu.


Mkumbuke Muumba wako siku za ujana wako, Kabla hazijaja siku zilizo mbaya, Wala haijakaribia miaka utakaposema, Mimi sina furaha katika hiyo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo