Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 30:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

19 Yeye amenibwaga topeni, Nami nimekuwa kama mavumbi na majivu.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

19 Amenibwaga matopeni; nimekuwa kama majivu na mavumbi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

19 Amenibwaga matopeni; nimekuwa kama majivu na mavumbi.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

19 Amenibwaga matopeni; nimekuwa kama majivu na mavumbi.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

19 Yeye amenitupa kwenye matope, nami nimekuwa kama mavumbi na majivu.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

19 Yeye amenitupa kwenye matope, nami nimekuwa kama mavumbi na majivu.

Tazama sura Nakili




Yobu 30:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

Abrahamu akajibu, akasema, Basi, nimeshika kusema na Bwana, nami ni mavumbi na majivu tu.


Naye akashika kigae cha kujikunia; akaketi majivuni.


Kwa sababu hiyo najichukia nafsi yangu, na kutubu Katika mavumbi na majivu.


Lakini utanitupa shimoni, Nami hata nguo zangu zitanichukia.


Uniponye kwa kunitoa matopeni, Wala usiniache nikazama. Na niponywe kutoka kwa wanaonichukia, Na kutoka katika vilindi vya maji.


Basi wakamtwaa Yeremia, wakamtupa katika shimo la Malkiya, mwana wa mfalme, lililo katika ukumbi wa walinzi; wakamshusha kwa kamba. Na mle shimoni hamkuwa na maji, ila matope tu; naye Yeremia akazama katika matope hayo.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo