Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 3:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Ambao wangojea mauti, lakini hawayapati; Na kuyachimbulia kuliko watafutavyo hazina iliyostirika;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Mtu atamaniye kifo lakini hafi; hutafuta kifo kuliko hazina iliyofichika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Mtu atamaniye kifo lakini hafi; hutafuta kifo kuliko hazina iliyofichika.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Mtu atamaniye kifo lakini hafi; hutafuta kifo kuliko hazina iliyofichika.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 wale wanaotamani kifo ambacho hakiji, wale wanaotafuta kufa zaidi ya kutafuta hazina iliyofichwa,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 wale wanaotamani kifo ambacho hakiji, wale watafutao kufa zaidi ya kutafuta hazina iliyofichwa,

Tazama sura Nakili




Yobu 3:21
13 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini yeye mwenyewe akaendelea katika jangwa mwendo wa siku moja, akaenda akaketi chini ya mretemu. Akajiombea roho yake afe, akasema, Yatosha; sasa, Ee BWANA, uiondoe roho yangu; kwa kuwa mimi si mwema kuliko baba zangu.


Lakini macho ya waovu yataingia kiwi, Nao hawatakuwa na njia ya kukimbilia, Na matumaini yao yatakuwa ni kutoa roho.


Ambao wafurahi mno, Na kushangilia watakapoliona kaburi?


Laiti ningepewa haja yangu, Naye Mungu angenipa neno hilo ninalolitamani sana!


Kwamba Mungu angekuwa radhi kuniponda; Kwamba angeulegeza mkono wake na kunikatilia mbali!


Hata nafsi yangu huchagua kunyongwa, Na kuchagua kifo kuliko maumivu yangu haya.


Ukiutafuta kama fedha, Na kuutafutia kama hazina iliyositirika;


Kwa hiyo nikawasifu wafu waliokwisha kufa kuliko wenye uhai walio hai bado;


Na kufa kutachaguliwa kuliko kuishi na mabaki wote waliosalia katika jamaa hii mbovu, waliosalia kila mahali nilikowafukuza, asema BWANA wa majeshi.


Basi, sasa, Ee BWANA, nakuomba, uniondolee uhai wangu; maana ni afadhali nife mimi kuliko kuishi.


Basi ikawa, jua lilipopanda juu, Mungu akatayarisha upepo wa mashariki, wenye joto jingi; jua likampiga Yona kichwani, hata akazimia, naye akajitakia kufa, akasema, Ni afadhali nife mimi kuliko kuishi.


Na kama ukinitenda hivi, nakuomba uniulie mbali, ikiwa nimepata fadhili mbele ya macho yako; nami nisiyaone haya mashaka yangu.


Na siku zile wanadamu watatafuta mauti, wala hawataiona kamwe. Nao watatamani kufa, nayo mauti itawakimbia.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo