Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 3:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Mbona pawe na magoti ya kunipokea? Au hayo maziwa, hata nikanyonya?

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Kwa nini mama yangu alinizaa? Kwa nini nikapata kunyonya?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Kwa nini mama yangu alinizaa? Kwa nini nikapata kunyonya?

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 Kwa nini mama yangu alinizaa? Kwa nini nikapata kunyonya?

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 Kwa nini pakawa na magoti ya kunipokea na matiti ili nipate kunyonyeshwa?

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 Kwa nini pakawa na magoti ya kunipokea na matiti ili nipate kunyonyeshwa?

Tazama sura Nakili




Yobu 3:12
6 Marejeleo ya Msalaba  

Akasema, Yuko mjakazi wangu, Bilha, uingie kwake ili kwamba azae kwa niaba yangu, nami nipate uzao kwa yeye.


Yusufu akaona wana wa Efraimu hata kizazi cha tatu; na wana wa Makiri, mwana wa Manase, walizaliwa magotini mwa Yusufu.


Mbona mimi sikufa wakati nikizaliwa? Mbona nisitoe roho hapo nilipotoka tumboni?


Maana hapo ningelala na kutulia; Ningelala usingizi; na kupata kupumzika;


Maana BWANA asema hivi, Tazama, nitamwelekezea amani kama mto, na utukufu wa mataifa kama kijito kifurikacho, nanyi mtapata kunyonya; mtabebwa; na juu ya magoti mtabembelezwa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo