Yobu 3:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC11 Mbona mimi sikufa wakati nikizaliwa? Mbona nisitoe roho hapo nilipotoka tumboni? Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema11 Mbona sikufa nilipozaliwa, nikatoka tumboni na kutoweka? Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND11 Mbona sikufa nilipozaliwa, nikatoka tumboni na kutoweka? Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza11 Mbona sikufa nilipozaliwa, nikatoka tumboni na kutoweka? Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu11 “Kwa nini sikuangamia wakati wa kuzaliwa? Kwa nini sikufa nilipokuwa ninatoka tumboni? Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu11 “Kwa nini sikuangamia wakati wa kuzaliwa? Kwa nini sikufa nilipokuwa ninatoka tumboni? Tazama sura |