Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 3:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

1 Baada ya hayo Ayubu akafunua kinywa chake, na kuilaani siku yake.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

1 Hatimaye Yobu aliamua kuongea, akailaani siku aliyozaliwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

1 Hatimaye Yobu aliamua kuongea, akailaani siku aliyozaliwa.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

1 Hatimaye Yobu aliamua kuongea, akailaani siku aliyozaliwa.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

1 Baada ya jambo hili, Ayubu akafumbua kinywa chake na kuilaani siku ya kuzaliwa kwake.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

1 Baada ya jambo hili, Ayubu akafumbua kinywa chake na kuilaani siku ya kuzaliwa kwake.

Tazama sura Nakili




Yobu 3:1
12 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini nyosha mkono wako sasa, uyaguse hayo yote aliyo nayo, naye atakukufuru mbele za uso wako.


Katika mambo hayo yote Ayubu hakufanya dhambi, wala hakumwazia Mungu kwa upumbavu.


Kisha wakaketi ardhini pamoja naye muda wa siku saba, mchana na usiku, wala hapana mmoja aliyenena naye neno lolote; kwa maana waliona ya kuwa mashaka yake aliyo nayo ni makuu mno.


Lakini sasa nyosha mkono wako, uuguse mfupa wake na nyama yake, naye atakukufuru mbele za uso wako.


Ayubu akajibu, na kusema;


Na ipotelee mbali ile siku niliyozaliwa mimi, Na ule usiku uliosema, Mtoto wa kiume ametungishwa mimba.


Ndiposa Ayubu hufunua kinywa chake kwa ubatili; Huongeza maneno pasipo maarifa.


Kwa sababu waliiasi roho yake, Akasema yasiyofaa kwa midomo yake.


Ole wangu, mama yangu, kwa kuwa umenizaa mtu wa kuteta, na mtu wa kushindana na dunia yote! Mimi sikukopesha kwa riba, wala watu hawakunikopesha kwa riba; lakini kila mmoja wao hunilaani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo