Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 29:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

8 Hao vijana waliniona wakanipisha, Nao wazee wakasimama kwa heshima;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

8 vijana waliponiona walisimama kando, na wazee walisimama wima kwa heshima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

8 vijana waliponiona walisimama kando, na wazee walisimama wima kwa heshima.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

8 vijana waliponiona walisimama kando, na wazee walisimama wima kwa heshima.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

8 vijana waliniona, wakakaa kando, nao wazee walioketi, wakasimama;

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

8 vijana waliniona wakakaa kando, nao wazee walioketi wakasimama;

Tazama sura Nakili




Yobu 29:8
10 Marejeleo ya Msalaba  

Wakati nilipotoka kwenda mjini, kupitia langoni, Nilipokitengeza kiti changu katika njia kuu,


Wakuu wakanyamaa wasinene, Na kuweka mikono yao vinywani mwao;


Kichwa chenye mvi ni taji la utukufu, Kama kikionekana katika njia ya haki.


Mfalme aketiye katika kiti cha hukumu, Huyapepeta mabaya yote kwa macho yake.


Mwondokeeni mtu mwenye mvi; heshimuni uso wa mtu mzee; nawe mche Mungu wako, Mimi ndimi BWANA.


Wapeni wote haki zao; mtu wa kodi, kodi; mtu wa ushuru, ushuru; astahiliye hofu, hofu; astahiliye heshima, heshima.


Uwakumbushe watu kunyenyekea kwa watawala na wenye mamlaka, na kutii, na kuwa tayari kwa kila kazi njema;


Waheshimuni watu wote. Wapendeni ndugu. Mcheni Mungu. Mpeni heshima mfalme.


Vivyo hivyo ninyi vijana, watiini wazee. Naam, ninyi nyote jifungeni unyenyekevu, mpate kuhudumiana; kwa sababu Mungu huwapinga wenye kiburi, lakini huwapa wanyenyekevu neema.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo