Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 29:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

5 Wakati Mwenyezi alipokuwa angali pamoja nami, Nao watoto wangu walipokuwa wakinizunguka;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

5 Mungu Mwenye Nguvu alikuwa bado pamoja nami, na watoto wangu walinizunguka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

5 Mungu Mwenye Nguvu alikuwa bado pamoja nami, na watoto wangu walinizunguka.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

5 Mungu Mwenye Nguvu alikuwa bado pamoja nami, na watoto wangu walinizunguka.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

5 wakati Mwenyezi bado alikuwa pamoja nami, nao watoto wangu wakawa wamenizunguka,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

5 wakati Mwenyezi alikuwa pamoja nami, nao watoto wangu walikuwa wamenizunguka,

Tazama sura Nakili




Yobu 29:5
19 Marejeleo ya Msalaba  

Laiti ningejua mahali niwezapo kumwona, Nifike hata hapo anapokaa!


Kama nilivyokuwa katika siku zangu za kukomaa, Hapo siri ya Mungu ilipokuwa hemani mwangu;


Wakati hatua zangu zilipokuwa zikioshwa kwa siagi, Nalo jabali liliponimiminia mito ya mafuta!


Mkeo atakuwa kama mzabibu uzaao, Katika nyumba yako. Wanao watakuwa kama miche ya mizeituni Wakiizunguka meza yako.


BWANA, kwa radhi yako Wewe uliuimarisha mlima wangu. Uliuficha uso wako, Nami nikafadhaika.


Kwa kuwa Wewe ndiwe Mungu uliye nguvu zangu; kwa nini umenitupa? Kwa nini ninakwenda nikihuzunika, adui wakinionea?


Wana wa wana ndio taji la wazee, Na utukufu wa watoto ni baba zao.


Akanileta mpaka nyumba ya karamu, Na bendera yake juu yangu ni mapenzi.


Wewe uliye tumaini la Israeli, wewe uliye Mwokozi wake wakati wa taabu, kwa nini wewe umekuwa kama mtu akaaye katika nchi, kama mgeni, na kama mtu mwenye kusafiri, ageukaye upande ili kukaa usiku mmoja tu?


Yesu akawaambia, Walioalikwa arusini wawezaje kuomboleza, muda bwana arusi akiwapo pamoja nao? Lakini siku zitakuja watakapoondolewa bwana arusi; ndipo watakapofunga.


Je! Si mimi niliyekuamuru? Uwe hodari na moyo wa ushujaa; usiogope wala usifadhaike; kwa kuwa BWANA, Mungu wako, yu pamoja nawe kila uendako.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo