Yobu 29:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC4 Kama nilivyokuwa katika siku zangu za kukomaa, Hapo siri ya Mungu ilipokuwa hemani mwangu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema4 Wakati huo nilifikia ukamilifu wa maisha, wakati urafiki wa Mungu ulikaa nyumbani kwangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND4 Wakati huo nilifikia ukamilifu wa maisha, wakati urafiki wa Mungu ulikaa nyumbani kwangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza4 Wakati huo nilifikia ukamilifu wa maisha, wakati urafiki wa Mungu ulikaa nyumbani kwangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu4 Natamani siku zile nilizokuwa katika ustawi wangu, urafiki wa Mungu wa ndani ulipoibariki nyumba yangu, Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu4 Natamani siku zile nilizokuwa katika ustawi wangu, wakati urafiki wa Mungu wa ndani ulipoibariki nyumba yangu, Tazama sura |