Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 29:23 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

23 Walikuwa wakiningojea kama kungojea mvua; Wakafunua vinywa vyao sana kama mvua ya masika.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

23 Watu waliningojea kama wangojeavyo mvua, walikuwa kama watu wanaotazamia msimu wa vuli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

23 Watu waliningojea kama wangojeavyo mvua, walikuwa kama watu wanaotazamia msimu wa vuli.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

23 Watu waliningojea kama wangojeavyo mvua, walikuwa kama watu wanaotazamia msimu wa vuli.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

23 Waliningojea kama manyunyu ya mvua na kuyapokea maneno yangu kama ardhi inyonyavyo mvua ya vuli.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

23 Waliningojea kama manyunyu ya mvua na kuyapokea maneno yangu kama ardhi inyonyavyo mvua ya vuli.

Tazama sura Nakili




Yobu 29:23
9 Marejeleo ya Msalaba  

Hawakunena tena baada ya kusikia maneno yangu; Matamko yangu yakadondoka juu yao.


Walipokata tamaa nikacheka nao; Na mwanga wa uso wangu hawakuuangusha.


Nafunua kinywa changu nikihema, Maana nazitamani amri zako.


Atashuka kama mvua juu ya majani yaliyokatwa, Kama manyunyu yainyweshayo nchi.


Mimi ndimi BWANA, Mungu wako, Niliyekupandisha toka nchi ya Misri; Fumbua sana kinywa chako nami nitakijaza.


Kuna uhai katika nuru ya uso wa mfalme, Na fadhili zake ni kama wingu la masika.


Wala hawasemi mioyoni mwao, Basi, na tumche BWANA, Mungu wetu, aletaye mvua, mvua ya mwaka, na mvua ya vuli, kwa wakati wake; na kutuwekea majuma ya mavuno yaliyoamriwa.


Nasi na tujue, naam, tukaendelee kumjua BWANA; kutokea kwake ni yakini kama asubuhi; naye atatujia kama mvua, kama mvua ya vuli iinyweshayo nchi.


Mwombeni BWANA mvua wakati wa masika, naam, BWANA aletaye mawingu ya mvua, naye atawapa manyunyu ya mvua, kila mtu atapewa nyasi shambani.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo