Yobu 29:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC19 Shina langu limeenea hata kufika majini, Na umande hukaa usiku kucha katika matawi yangu; Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema19 Mimi ni kama mti uliotandaza mizizi majini, umande wa usiku huburudisha matawi yangu. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND19 Mimi ni kama mti uliotandaza mizizi majini, umande wa usiku huburudisha matawi yangu. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza19 Mimi ni kama mti uliotandaza mizizi majini, umande wa usiku huburudisha matawi yangu. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu19 Mizizi yangu itafika hata kwenye maji, nao umande utakaa juu ya matawi yangu usiku kucha. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu19 Mizizi yangu itafika mpaka kwenye maji, nao umande utakaa juu ya matawi yangu usiku kucha. Tazama sura |