Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 29:18 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

18 Ndipo niliposema, Nitakufa ndani ya kiota changu, Nami nitaziongeza siku zangu kama mchanga;

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

18 Kisha nikafikiri: Nitafia kiotani mwangu nimetulia; siku za maisha yangu zitaongezeka kama mchanga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

18 Kisha nikafikiri: Nitafia kiotani mwangu nimetulia; siku za maisha yangu zitaongezeka kama mchanga.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

18 Kisha nikafikiri: Nitafia kiotani mwangu nimetulia; siku za maisha yangu zitaongezeka kama mchanga.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

18 “Nikafikiri, ‘Nitafia katika nyumba yangu mwenyewe, nazo siku zangu zitakuwa nyingi kama chembechembe za mchanga.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

18 “Nikafikiri, ‘Nitafia katika nyumba yangu mwenyewe, nazo siku zangu zitakuwa nyingi kama chembechembe za mchanga.

Tazama sura Nakili




Yobu 29:18
12 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe ulisema, Hakika nitakutendea mema, nami nitafanya uzao wako uwe kama mchanga wa bahari, usiohesabika kwa kuwa mwingi.


Yusufu akakusanya nafaka kama mchanga wa pwani, nyingi mno, hata akaacha kuhesabu, maana ilikuwa haina hesabu.


Nami nilizivunja taya za wasio haki, Na kumpokonya mawindo katika meno yake.


Shina langu limeenea hata kufika majini, Na umande hukaa usiku kucha katika matawi yangu;


Utafika kaburini mwenye umri mtimilifu, Kama mganda wa ngano ulivyo wakati wake.


Kwa siku nyingi nitamshibisha, Nami nitamwonesha wokovu wangu.


Wewe ukaaye Lebanoni, Ujengaye kiota chako katika mierezi, Utakuwa na hali ya kuhurumiwa sana, Upatapo uchungu kama wa mwanamke azaaye.


Kuhusu kuogofya kwako, Kiburi cha moyo wako kimekudanganya, Wewe ukaaye katika pango za majabali, Ushikaye kilele cha milima; Ujapofanya kiota chako juu sana kama tai, Nitakushusha kutoka huko; asema BWANA.


Ujapopanda juu kama tai, Ijapokuwa kiota chako kimewekwa kati ya nyota, Nitakushusha kutoka huko; asema BWANA.


Ole wake yeye aipatiaye nyumba yake mapato mabaya, ili apate kukiweka kiota chake juu, apate kujiepusha na mkono wa uovu!


Tufuate:

Matangazo


Matangazo