Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 29:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

12 Kwa sababu nilimwokoa maskini aliyenililia; Yatima naye, na yule asiyekuwa na mtu wa kumsaidia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

12 Nilimwokoa maskini aliyenililia msaada, kadhalika na yatima asiyekuwa na wa kumsaidia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

12 Nilimwokoa maskini aliyenililia msaada, kadhalika na yatima asiyekuwa na wa kumsaidia.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

12 nilimwokoa maskini aliyenililia msaada, kadhalika na yatima asiyekuwa na wa kumsaidia.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

12 kwa sababu nilimwokoa maskini aliyeomba msaada, naye yatima aliyekuwa hana wa kumsaidia.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

12 kwa sababu nilimwokoa maskini aliyeomba msaada, naye yatima aliyekuwa hana wa kumsaidia.

Tazama sura Nakili




Yobu 29:12
20 Marejeleo ya Msalaba  

Humgeuza mhitaji aiache njia; Maskini wa nchi hujificha pamoja.


Wako wamwondoao matitini kwa nguvu huyo asiye na baba, Na kutwaa rehani kwa maskini;


Je! Mimi sikulia kwa ajili ya huyo aliyekuwa katika taabu? Nafsi yangu, je! Haikusononeka kwa ajili ya wahitaji?


Au kama nimekula tonge langu peke yangu, Mayatima wasipate kulila;


(La, tangu ujana wangu alikuwa pamoja nami kama kwa baba; Nami nimekuwa ni kiongozi wa mjane tangu tumbo la mamangu);


Ikiwa nimewainulia mayatima mkono, Nilipoona msaada wangu langoni;


Hata wakafanya kilio cha maskini kumfikia, Naye akasikia kilio cha hao wateswao.


Baba wa yatima na mwamuzi wa wajane, Ni Mungu aliye katika kao lake takatifu.


Kwa maana atamkomboa mhitaji aliapo, Na mtu aliyeonewa iwapo hana msaidizi.


Nimehesabiwa pamoja nao washukao shimoni; Nimekuwa kama mtu asiye na msaada.


Azibaye masikio yake asisikie kilio cha maskini, Yeye naye atalia, lakini hatasikiwa.


Fumbua kinywa chako kwa ajili yake aliye bubu; Uwatetee watu wote walioachwa peke yao;


Alihukumu maneno ya maskini na mhitaji; hapo ndipo alipofanikiwa. Je! Huku siko kunijua, asema BWANA?


Huwafanyia yatima na mjane hukumu ya haki, naye humpenda mgeni, akimpa chakula na mavazi.


Dini iliyo safi, isiyo na dosari mbele za Mungu Baba ni hii, Kwenda kuwatazama yatima na wajane katika dhiki yao, na kujilinda na dunia pasipo mawaa.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo