Yobu 29:12 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC12 Kwa sababu nilimwokoa maskini aliyenililia; Yatima naye, na yule asiyekuwa na mtu wa kumsaidia. Tazama suraMatoleo zaidiBiblia Habari Njema12 Nilimwokoa maskini aliyenililia msaada, kadhalika na yatima asiyekuwa na wa kumsaidia. Tazama suraBiblia Habari Njema - BHND12 Nilimwokoa maskini aliyenililia msaada, kadhalika na yatima asiyekuwa na wa kumsaidia. Tazama suraBiblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza12 nilimwokoa maskini aliyenililia msaada, kadhalika na yatima asiyekuwa na wa kumsaidia. Tazama suraNeno: Bibilia Takatifu12 kwa sababu nilimwokoa maskini aliyeomba msaada, naye yatima aliyekuwa hana wa kumsaidia. Tazama suraNeno: Maandiko Matakatifu12 kwa sababu nilimwokoa maskini aliyeomba msaada, naye yatima aliyekuwa hana wa kumsaidia. Tazama sura |