Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni

- Matangazo -




Yobu 29:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

11 Maana sikio liliponisikia, ndipo likanibarikia; Na jicho liliponiona, likanishuhudia.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

11 Kila aliyesikia habari zangu alinitakia heri na aliponiona, alikubali habari hizo kuwa kweli:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

11 Kila aliyesikia habari zangu alinitakia heri na aliponiona, alikubali habari hizo kuwa kweli:

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

11 Kila aliyesikia habari zangu alinitakia heri na aliponiona, alikubali habari hizo kuwa kweli:

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

11 Yeyote aliyenisikia alinena mema juu yangu, nao walioniona walinisifu,

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

11 Yeyote aliyenisikia alinena mema juu yangu, nao walioniona walinisifu,

Tazama sura Nakili




Yobu 29:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ikiwa viuno vyake havikunibariki, Au kama hakupata moto kwa manyoya ya kondoo wangu;


Tazama, wewe umewafunza watu wengi, Nawe umeitia nguvu mikono iliyokuwa minyonge.


Maneno yako yamemtegemeza huyo aliyekuwa anaanguka, Nawe umeyaimarisha magoti manyonge.


Wenye haki wakiwa na amri, watu hufurahi; Bali mwovu atawalapo, watu huugua.


Vile vile na yule mwenye mbili, yeye naye akachuma nyingine mbili faida.


Ikawa alipokuwa akisema maneno hayo, mwanamke mmoja katika mkutano alipaza sauti yake, akamwambia, Heri tumbo lililokuzaa, na matiti uliyonyonya.


Wakamshuhudia wote, wakiyastaajabia maneno ya neema yaliyotoka kinywani mwake, wakasema, Huyu siye mwana wa Yusufu?


Tufuate:

Matangazo


Matangazo