Biblia Todo Logo
Biblia ya mtandaoni
- Matangazo -




Yobu 28:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

21 Kwa kuwa imefichwa mbali na macho ya wote walio hai, Na kusitirika na ndege wa angani.

Tazama sura Nakili


Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

21 Imefichika machoni pa viumbe vyote hai, na ndege wa angani hawawezi kuiona.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema - BHND

21 Imefichika machoni pa viumbe vyote hai, na ndege wa angani hawawezi kuiona.

Tazama sura Nakili

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

21 Imefichika machoni pa viumbe vyote hai, na ndege wa angani hawawezi kuiona.

Tazama sura Nakili

Neno: Bibilia Takatifu

21 Imefichika machoni pa kila kitu kilicho hai, imesitiriwa hata kwa ndege wa angani.

Tazama sura Nakili

Neno: Maandiko Matakatifu

21 Imefichika machoni pa kila kitu kilicho hai, imesitiriwa hata kwa ndege wa angani.

Tazama sura Nakili




Yobu 28:21
8 Marejeleo ya Msalaba  

Basi hekima yatoka wapi? Na mahali pa ufahamu ni wapi?


Uharibifu na Mauti husema, Tumesikia habari zake kwa masikio yetu.


Wakati ule Yesu akajibu, akasema, Nakushukuru, Baba, Bwana wa mbingu na nchi, kwa kuwa mambo haya uliwaficha wenye hekima na akili, ukawafunulia watoto wachanga.


Kwa maana, amin, nawaambia, Manabii wengi na wenye haki walitamani kuyaona mnayoyaona ninyi, wasiyaone; na kuyasikia mnayoyasikia ninyi, wasiyasikie.


ili litimie neno lililonenwa na nabii, akisema, Nitafumbua kinywa changu kwa mifano, Nitayatamka yaliyositirika tangu kuumbwa kwa ulimwengu.


ambaye ndani yake yeye hazina zote za hekima na maarifa zimesitirika.


Tufuate:

Matangazo


Matangazo